Ruto na Laboso watoana kijasho kwenye kivumbi hicho

Muungano wa NASA na chama cha Jubilee wanaonekana kupimana nguvu katika kaunti ya Bomet, sio tu katika kinyang’anyiro cha urais bali pia kiti cha ugavana. Gavana wa sasa Isaac Ruto na naibu spika wa bunge la taifa Joyce Laboso wanaotoana jasho kwenye kampeni za kutafuta kuchaguliwa katika kinyang’anyiro kinachokisiwa pia kupima ubabe wa Naibu Rais William Ruto katika siasa za bomet. Je, Bomet inaweza kutajwa kama kaunti inayotoa upinzani mkali zaidi kwa chama cha Jubilee katika bonde la ufa? Mwanahabari wetu Faiza Maganga anaelekeza darubini ya siasa kwenye kinyang’anyiro cha Ugavana Bomet.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories