Rwanda yapiga hatua utekelezaji marufuku ya plastiki

Safari ya marufuku yao ilianza miaka tisa iliyopita huku yetu ikiwa ndio imeng’oa nanga. Na kama sisi wao pia walipokea tetesi tele kutoka kwa wakaazi wa nchi hiyo. Mtazamaji sio kwengine bali ni nchi ya Rwanda amako mwanahabari Saida Swaleh alizuru ili kuelewa ni vipi wakenya na warwanda wanavyoishi baada ya marfuku ya mifuko ya plastiki nchini humo. Faini za matumizi ya mifuko hiyo ikiwa juu mno kana kwamba hakuna anayethubutu kupatikana nayo. Basi haya hapa makala yake saida swaleh ya sanda ya sandarusi.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories