Safari za ndege za moja kwa moja hadi Marekani kuanza Oktoba
Published on: January 11, 2018 08:15 (EAT)
Kwanzia tarehe 28 mwezi Oktoba mwaka huu, wakenya wataweza kusafiri moja kwa moja hadi nchini Marekani kwa kutumia ndege. Hii inafuatia hatua ya kampuni ya Kenya Airways kutangaza kuanza rasmi kwa safari hizo ifikapo tarehe hiyo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment