Sekta ya elimu yazongwa na wingi wa vitabu bandia

Serikali ya Kenya imekuwa ikipoteza ushuru wa takrbani shilingi bilioni 4 kila mwaka kupitia uhalifu wa kuchapisha vitabu ghushi vya kiada. Mkurungenzi mkuu katika shirika la uchapshaji vitabu nchini, KLB, Victor Lomaria ametaja uhali huo kuwa dosari kubwa katika uchumi wa taifa hili.

Tags:

education KLB

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories