Sekta ya elimu yazongwa na wingi wa vitabu bandia
Published on: September 09, 2017 08:31 (EAT)
Serikali ya Kenya imekuwa ikipoteza ushuru wa takrbani shilingi bilioni 4 kila mwaka kupitia uhalifu wa kuchapisha vitabu ghushi vya kiada. Mkurungenzi mkuu katika shirika la uchapshaji vitabu nchini, KLB, Victor Lomaria ametaja uhali huo kuwa dosari kubwa katika uchumi wa taifa hili.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment