Seneta, mwakilishi wa wanawake wa Taita Taveta wahamia Jubilee
Published on: March 11, 2017 08:58 (EAT)
Chama cha Jubilee kinazidi kuyavizia maeneo ya pwani, katika jitihada za Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto kujizolea angalau kipande cha kura katika ngome ya upinzani. Kenyatta na Ruto wakipiga kambi katika kaunti ya Taita Taveta, na kumpokea Seneta Dan Mwazo aliyehiari kulitema chungwa, na kujiunga na Jubilee.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment