Seneta Njoroge afikishwa kortini leo

Mahakama imemwachilia kwa dhamana Seneta maalumu Paul Njoroge aliyefikishwa kortini kufuatia tukio la jana ambapo alifyatua risasi hewani katika kituo cha petroli mjini Naivasha. Alipomfyatulia risasi afisa mtendaji wa kampuni ya mafuta ya VIVO Polycarp Igathe, katika kituo cha mafuta cha shell kwenye barabara ya Nairobi kwenda Naivasha, Seneta maalumu Paul Njoroge alikuwa mjasiri kama simba.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories