Seneta wa Kwale aliyefariki jana azikwa
Published on: February 13, 2017 09:06 (EAT)
Aliyekuwa senata wa kwale boi juma boi amezikwa leo vanga , lungalunga kaunti ya kwale. Vinara wakuu wa NASA Raila Odinga, Kalonzo Musyoka na Moses Wentangula walikuwa miongoni mwa waombolezaji waliohudhuria mazishi hayo. Mbali na wasifu wake siasa pia zilionekana kupewa kipaumbele.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment