Serem: Serekali za kaunti hazifuati kanuni
Published on: December 05, 2017 08:04 (EAT)
Tume ya mishahara nchini SRC imesema kuwa bado matumizi ya fedha serikalini haswa katika kulipa mishahara hayaambatani na jinsi tume hiyo ilikusudia. Mwenyekiti wa tume hiyo anayeondoka Sara Serem amezilaumu serikali za kaunti kwa kuwa kizingiti kikubwa huku naibu rais William Ruto akidokeza kuwa ipo haja ya kuwapunguza wafanyakazi katika wizara na idara mbalimbali hasa washauri.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment