Serikali kununua vitabu vya kusoma mwakani

Wanafunzi wa kidato cha kwanza watapata vitabu sita vya masomo ya lazima (core subjects) kuanzia Januari mwaka ujao kutoka kwa wizara ya elimu. Waziri wa elimu Fred Matiang’i ametangaza mwamko huo mpya akisema shule hazitapokea tena pesa za kununua vitabu kwani kumekuwa na wizi na ufujaji wa hela za mpango huo. Waziri alisema hayo alipozindua shughuli ya kutoa nafasi za shule za upili kwa watahiniwa wa KCPE mwaka huu ambapo pia alitangaza mabadiliko kadhaa katika sekta ya elimu.

Tags:

Fred Matiang'i KICD school books

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories