Serikali kupiga msasa mishahara ya wafanyikazi wake
Published on: November 11, 2016 08:25 (EAT)
Wafanyakazi wa umma kuanzia Julai mwaka ujao watapokea mishahara kulingana na kazi wanayofanya serikalini. Hii ni baada ya tume ya mishahara nchini SRC kutoa mwongozo mpya utakao tumiwa kuwalipa wafanyikazi wote wa serikali.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment