Serikali kupiga msasa mishahara ya wafanyikazi wake

Wafanyakazi wa umma kuanzia Julai mwaka ujao watapokea mishahara kulingana na kazi wanayofanya serikalini. Hii ni baada ya tume ya mishahara nchini SRC kutoa mwongozo mpya utakao tumiwa kuwalipa wafanyikazi wote wa serikali.

Tags:

Sarah Serem SRC Mishahara Wafanyikazi wa umma

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories