Serikali kuwafidia wafugaji ambao ng’ombe wao walinadiwa Tanzania
Published on: November 09, 2017 09:13 (EAT)
Serikali itawafidia wafugaji kutoka familia kumi kutoka kaunti ya Kajiado ambao mifugo wao walitwaliwa na kunadiwa na serikali ya Tanzania walipovuka mpaka kusaka lishe. Serikali ikitenga zaidi ya Ksh. 55 M kuwawezesha wafugaji hao kununua ng’ombe wengine, huku juhudi za kuutatua mgogoro wa kidiplomasia unaotokota kati ya Kenya na Tanzania zikishika kasi.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment