Serikali ya kaunti ya Nairobi yakataa matatu ziingie katikati mwa jiji

Serikali ya kaunti ya Nairobi imetangaza mpango wa kuanza kuzuia matatu kuingia katikati mwa jiji kama njia mojawapo wa kukabiliana na msongamano wa magari. Kulingana na Gavana wa Nairobi Mike Sonko mpango huo unaonuiwa kuanza tarehe 20 mwezi huu utahakikisha kuwa kuna nidhamu katika barabara za katikati mwa jiji na kuongeza kuwa washikadau watahusishwa ilikuona hawajadhulumiwa.

Tags:

Mike Sonko matatus Nairobi CBD

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories