Serikali yakana kuagiza mahindi kutoka Mexico

Mahindi yalisaforishwa kutoka nchini mexico yamekaguliwa hii leo huku wasaga wa kibinafsi tayari wamepokea mahindi hayo hivyo basi serikali kutangaza kuwa bei ya mahindi kutarajiwa kupungua mwanzo wa mwezi julai. Hata hivyo serikali imepuuzilia mbali madai ya mahindi hayo kuwa mahindi hayo sio rangi ya manjano. Saida swaleh na taarifa hiyo.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories