Serikali yaondoa walinzi wa magavana Joho na Kingi
Published on: January 07, 2017 08:25 (EAT)
Mwendo wa saa saba usiku wa kuamkia leo ,walinda usalama wa gavana wa Mombasa Ali Hassan Joho na mwenzake wa kilifi Amason Jeffa Kingi walilazimika kurudi kambini baada ya kudaiwa kupewa agizo hilo na wizara ya usalama, upande wa polisi unadai kwamba magavana hawa wamekuwa wakitumia magari na walinzi hao vibaya.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment