Serikali yapiga marufuku maandamano ya NASA katikati mwa miji

Serikali imepiga marufuku ya mara moja maandamano ya aina yoyote ile katikakati mwa jiji la Nairobi, Mombasa na Kisumu. Kaimu waziri wa usalama wa ndani Fred Matiang’i ametoa agizo hilo kwa msingi wa kuzuia visa vya wizi uharibifu na machafuko wakati wa maanadamo hususan ya hivi punde.
Haya yanajiri huku wafanyibiashara mbalimbali wakiendelea kukadiria hasara baada ya mali yao kuibwa na kuharibiwa siku ya jumatatno wwakati wa maandamanao ya muungano wa nasa katiki sehemu tofauti humu nchini.

Tags:

Mombasa Nairobi NASA Matiang’i kisumu anti-IEBC protests

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories