Serikali yapiga marufuku maandamano ya NASA katikati mwa miji
Published on: October 12, 2017 08:29 (EAT)
Serikali imepiga marufuku ya mara moja maandamano ya aina yoyote ile katikakati mwa jiji la Nairobi, Mombasa na Kisumu. Kaimu waziri wa usalama wa ndani Fred Matiang’i ametoa agizo hilo kwa msingi wa kuzuia visa vya wizi uharibifu na machafuko wakati wa maanadamo hususan ya hivi punde.
Haya yanajiri huku wafanyibiashara mbalimbali wakiendelea kukadiria hasara baada ya mali yao kuibwa na kuharibiwa siku ya jumatatno wwakati wa maandamanao ya muungano wa nasa katiki sehemu tofauti humu nchini.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment