Serikali yatangaza hali ya njaa Kwale, Kilifi

Zaidi ya watu milioni 1.3 humu nchini wanahitaji misaada ya haraka ya vyakula kutokana na ukame. Maeneo kama vile Kilifi, Samburu, Taita Taveta, na hata maeneo ya mto Tana yametajwa kuwa ndio yameathirika pakubwa na hali hiyo ya kiangazi.

Tags:

Mwangi Kiunjuri hali ya kiangazi

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories