Serikali yatangaza hali ya njaa Kwale, Kilifi
Published on: October 14, 2016 11:36 (EAT)
Zaidi ya watu milioni 1.3 humu nchini wanahitaji misaada ya haraka ya vyakula kutokana na ukame. Maeneo kama vile Kilifi, Samburu, Taita Taveta, na hata maeneo ya mto Tana yametajwa kuwa ndio yameathirika pakubwa na hali hiyo ya kiangazi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment