Serikali yatoa tahadhari ya kupungua kwa sukari
Serikali imetoa tahadhari kuhusu uhaba wa sukari nchini. Hali hii imechangiwa na ukame chini ambao umeharibu mazao.
Wananchi wengi wamepatwa na mshangao baada ya kukosa sukari madukani, hali mbayo inakisiwa kuwa itaendelea hadi pale waagizaji wa bidhaa kutoka nje watakapoweza kuagiza sukari. Si Kenya pekee ambapo bidhaa hiyo imekuwa adimu. Waagizaji wa bidhaa kutoka nje ya nchi wanalazimika kuagiza sukari kutoka nchi ya Brazil baada ya bidhaa hiyo kukosekana katika mataifa ya Afrika mashariki na bara Afrika.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment