Serikali yatoa tahadhari ya mchamko wa kipindupindu
Published on: May 19, 2017 08:47 (EAT)
Serikali imetoa tahadhari kufuatia mlipuko wa maradhi ya kipundupindu nchini.
Inahofiwa kuwa watu wanne wamepoteza maisha yao kufikia sasa kufuatia mchamko wa ugonjwa huo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment