Serikali yatoa tahadhari ya mchamko wa kipindupindu

Serikali imetoa tahadhari kufuatia mlipuko wa maradhi ya kipundupindu nchini.
Inahofiwa kuwa watu wanne wamepoteza maisha yao kufikia sasa kufuatia mchamko wa ugonjwa huo.

Tags:

cholera kipindupindu

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories