SHABIKI SUGU: Roslyn Akinyi anajulikana kama Mama Orange
Published on: June 17, 2017 08:04 (EAT)
Unawafahamu zaidi kwa mbwembwe zao katika hafla za kisiasa. Wakinengua viuno kwa mdundo wa muziki na wengine hata kutoa machozi ili wagombea wao wa kisiasa wanaowathamini wasidhulumiwe. Na kama anavyoarifu mwanahabari Saida Swaleh, aliyepata fursa ya kukutana na wapenzi wa chama cha ODM na wa Jubilee, wanaifanya kazi ya kuwatumbuiza watu hao bila hata peni katika makala maalum ya Shabiki Sugu.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment