Shaka yazidi kuhusiana na Raila kushiriki uchaguzini
Published on: October 09, 2017 08:45 (EAT)
Kinara wa Nasa Raila Odinga amesema kuwa hatashurutishwa kushiriki katika marudio ya uchaguzi mwishoni mwa mwezi huu. Odinga na kinara mwenza Kalonzo Musyoka wamesema kuwa kufikia sasa IEBC haijatimiza matakwa yao na hivyo hakuna haja ya kushiriki katika uchaguzi usiokuwa wa huru na haki. Haya yanajiri huku Rais Kenyatta akidai kuwa NASA ina mipango ya kujiondoa katika kinyanganyiro hicho. Stephen Letoo na taarifa hiyo
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment