Sherehe ya kufunguliwa kwa chemba ya bunge yatibuka

Sherehe ya kufunguliwa rasmi kwa chemba za kaunti ya Nairobi hazikufanyika baada ya wageni waliolalikwa akiwemo Rais Uhuru Kenyatta kukosa kuhudhuria kikao hicho.Kuliziuka hali ya suitofahamu katika afisi za kaunti huku makundi ya vijana yakiandamana na kusababisha sherehe hizo kusitishwa.Victor Kenani ana taarifa hii.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories