Sheria za sigara

Kwa mara nyingine tena sheria ya kudhibiti uuzaji na matumizi ya sigara huenda ikakosa kutekelezwa  baada ya kampuni ya kutengeneza sigara ya  bat kuwasilisha kesi mahakamani kupinga sheria mpya ambayo inawalazimu wao kuuza  bidhaa hiyo chini ya masharti kadhaa  kwa manufaa ya afya ya wakenya.

Tags:

Sheria za sigara

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories