Sheria za sigara
Published on: September 25, 2016 09:02 (EAT)
Kwa mara nyingine tena sheria ya kudhibiti uuzaji na matumizi ya sigara huenda ikakosa kutekelezwa baada ya kampuni ya kutengeneza sigara ya bat kuwasilisha kesi mahakamani kupinga sheria mpya ambayo inawalazimu wao kuuza bidhaa hiyo chini ya masharti kadhaa kwa manufaa ya afya ya wakenya.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment