Shirika La Fly 540 Lajitetea

Shirika la ndege la  540 limejiondelea  lawama katika tukio la jumamosi usiku pale mmoja wa abiria wao alifariki kutokana na kilichodhaniwa wakati huo kuwa maradhi ya Ebola au Marburg. Shirika hilo linadai kuwa kabla yakumruhusu kusafiri mwanamke huyo kutoka juba, alilazimika kupata barua ya daktari kumruhusu kusafiri kwa ndege na kwamba abiria wengine hawataambukizwa maradhi anayougua

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories