Shirika La Fly 540 Lajitetea
Published on: October 13, 2014 08:18 (EAT)
Shirika la ndege la 540 limejiondelea lawama katika tukio la jumamosi usiku pale mmoja wa abiria wao alifariki kutokana na kilichodhaniwa wakati huo kuwa maradhi ya Ebola au Marburg. Shirika hilo linadai kuwa kabla yakumruhusu kusafiri mwanamke huyo kutoka juba, alilazimika kupata barua ya daktari kumruhusu kusafiri kwa ndege na kwamba abiria wengine hawataambukizwa maradhi anayougua
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment