Shirika la ILDO) lanyang’anywa leseni

Serikali imesimamisha kwa muda shughuli zinazoendelezwa na shirika la kimataifa la kukuza sheria (ILDO), shirika ambalo limekuwa likifanya kazi kwa karibu na mahakama pamoja na maswala ya uchaguzi kwa madai kwamba linaendesha shughuli zake kwa njia isiyostahili.

Tags:

fazul mohammed ILDO makau mutua NGOs Co-ordination Bopard

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories