Shirika la ILDO) lanyanganywa leseni

Serikali imesimamisha kwa muda shughuli zinazoendelezwa na shirika la kimataifa la kukuza sheria (ILDO), shirika ambalo limekuwa likifanya kazi kwa karibu na mahakama pamoja na maswala ya uchaguzi kwa madai kwamba linaendesha shughuli zake kwa njia isiyostahili.

Tags:

fazul mohammed ILDO makau mutua NGOs Co-ordination Bopard

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories