Shirika la IPOA kuchunguza vipigo Mumias
Published on: November 30, 2016 09:26 (EAT)
Halmashauri ya kutathmini utendakazi wa maafisa wa polisi ipoa, inaendeleza uchunguzi kubainisha kama kweli oparesheni ilioanzishwa kusaka bunduki zilizoibwa katika kituo cha polisi cha booker huko mumias ilikiuka haki za kibinaadam.
Haya hanajiri huku ripoti zikiashiria kuwa wakazi wanaowasilisha malalamishi yao kwa ipoa wanatishiwa na watu wanaodaiwa kuwa maafisa wa polisi.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment