Shirika La KNCC Lataka Riba Zipunguzwe
Published on: November 09, 2014 02:49 (EAT)
Benki humu nchini zimetakiwa kupunguza riba zao kwenye mikopo. Shirika la Ustawi wa Biashara na Viwanda nchini linasema hatua hiyo ni muhimu kwa kuendeleza ukuaji wa uchumi na maendeleo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment