Shirika la KQ lazidi kukumbwa na masaibu
Published on: October 17, 2016 09:15 (EAT)
Maafisa wa serikali wamekutana kujaribu kupata suluhisho ya masaibu yanayoikumba kampuni ya ndege ya Kenya Airways.
Mazungumzo hayo yanalenga kuwashawishi marubani wasitishe mgomo wao waliopanga kuuanza hapo kesho. Mkutano huo umeandaliwa na waziri wa leba Phyllis Kandie.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment