Shirika la NEMA lakutana na wenye viwanda
Published on: August 30, 2017 08:27 (EAT)
Shughuli ya kuzoa na kurejesha karatasi za plastiki inatarajiwa kuanza hapo kesho. Hapo jana maafisa kutoka shirika la kutunza mazingira nchini NEMA walitangaza maduka makuu ya Tuskys, Nakumatt na Uchumi kama sehemu za kupokea karatasi hizo kutoka kwa wakenya kote nchini.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment