Shirika la Rosemary Odinga lamulikwa kwa madai ya kukiuka sheria za ufadhili
Published on: August 01, 2017 08:18 (EAT)
Mkurugenzi Mkuu wa Bodi inayoshughulikia mashirika yasiyo ya kiserikali Fazul Mahamad sasa anamtaka gavana wa benki kuu Patrick Njoroge kufunga akaunti za shirika la kijamii linalohusishwa na mwanawe Mgombea urais wa NASA Rosemary Odinga.
Fazul anadai shirika hilo kwa jina Key Empowerment Foundation Kenya limepokea ufadhili kutoka kwa shirika la marekani la George Soros wa zaidi ya nusu bilioni kinyume na sheria.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment