Shughuli za uokoaji kwenye jumba lililoporomoka Kisii zakamilika

Shughuli za uokoaji katika mkasa wa jumba lililoporomoka mjini Kisii hapo jana zimefikia mwisho huku watu saba wakipoteza maisha yao na mwanamke mmoja katika kaunti ya ametiwa mbaroni kwa kosa la kuwatelekeza wanawe wawili. Kwa taarifa hizi na nyingine kwa kina ni katika mseto wa kaunti.

Tags:

Kisii building collapse Paul maasai

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories