Shule 10 hazitapata matokeo ya KCSE mwaka huu

Mtihani wa KCSE haukukosa mushkili. Matokeo katika shule kumi yamezuiliwa, ili kuwapa wataalamu nafasi ya kuyachunguza kutokana na madai ya udanganyifu. Kadhalika, waalimu 40 wanakabiliwa na tishio la kupigwa kalamu na kufunguliwa mashtaka, kwa kuruhusu au kuwezesha udanganyifu kufanyika.

Tags:

KCSE 2017 Naomi Karimi

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories