Shule ya Uhuru yamulikwa

 

Waalimu wawili kutoka shule ya upili ya uhuru wanadai kuwa maisha yao yako hatarini baada ya madai ya kunyanyaswa na mwalimu mkuu wa shule hiyo na kutaka serikali kuingilia kati. Saida swaleh alipata fursa ya kuzungumza nao na kuandaa taarifa ifuatayo.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories