Shule ya Wareng inatumia teknolojia kufuatilia wanafunzi shuleni
Published on: May 12, 2017 09:00 (EAT)
Mara nyingi wanafunzi hukosa kuhudhuria masomo yao bila walimu au wazazi kujua walikuwa wapi siku nzima. Hili limepelekea shule ya upili ya Wareng katika kaunti ya Uasin Gishu kutafuta mbinu ya kiteknolojia kuhakikisha wanafunzi wote wamo shuleni, John Wanyama na taarifa hii kwa kina.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment