Shule ya Wareng inatumia teknolojia kufuatilia wanafunzi shuleni

Mara nyingi wanafunzi hukosa kuhudhuria masomo yao bila walimu au wazazi kujua walikuwa wapi siku nzima. Hili limepelekea shule ya upili ya Wareng katika kaunti ya Uasin Gishu kutafuta mbinu ya kiteknolojia kuhakikisha wanafunzi wote wamo shuleni, John Wanyama na taarifa hii kwa kina.

Tags:

Wareng teknolojia Shule masomo

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories