Shule zafunguliwa hapo kesho
Published on: May 01, 2017 07:54 (EAT)
Shule Kote Nchini Zinafunguliwa Hapo Kesho Kwa Muhula Wa Pili Mwaka Huu. Wengi Wa Wazazi Ambao Wamefika Madukani Wamelalamikia Hatua Ya Kupanda Kwa Bei Za Bidhaa Tofauti Huku Mahitaji Ya Wanafunzi Nayo Yakipanda. Tupate Taarifa Hiyo Kwa Kina kama anavyoripoti mwanahabari Makori Ongechi
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment