Shule zafunguliwa kuanza muhula wa tatu

Huku masomo ya muhula wa tatu yaking’oa nanga wanafunzi wamejipata wakihangaika kwenye vituo vya kuabiri magari ya umma kutokana na uhaba wa magari hayo. Katika baadhi ya vituo hivyo nauli imeongezeka maradufu, jambo ambalo limewaduwaza wazazi na wanafunzi wengi wasijue la kufanya.

Tags:

back to school shule zafunguliwa

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories