Siasa za Nairobi
Published on: January 22, 2017 08:31 (EAT)
Gavana wa Nairobi Evans Kidero ana imani kuwa atatetea kiti chake katika kaunti ya nairobi katika uchaguzi mkuu ujao.
Nao baadhi ya wanasiasa kutoka jubilee wana imani kuwa chama hicho kitampata mgombeaji mmoja wa kugombea kiti cha ugavana Nairobi licha ya malumbano yanayoshuhudiwa kwa sasa.
Denis Otieno ana maelezo zaidi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment