Siasa za Wiper

Makataaa ya siku saba yaliyotolewa na kiongozi wa wachache katika bunge la kitaifa Francis Nyenze yamekatika bila muungano wa upinzani-nasa kumtaja kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka kama mgombea urais wa muungano huo kama nyenze alivyoshinikiza.

Musyoka amesisitiza wiper itasalia ndani ya nasa, lakini akasema yuko macho kuhakikisha hachezewi shere na wenzake huku kitendawili cha kumtambua atakayepeperusha bendera ya Nasa kikisalia bila jibu.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories