Siha na Maumbile: Afya bora ya kinywa na meno kwa mtoto ni muhimu
Published on: August 18, 2016 08:09 (EAT)
Afya bora ya kinywa na meno kwa mtoto ni muhimu sana na ina uhususiano wa moja kwa moja na afya yake kwa ujumla. Hata hivyo sio wengi wanaotilia maanani hili na ndio katika siha na maumbile mwanahamisi hamadi anatueleza umuhimu wa kutunza meno ya mtoto na kutupa vidokeza vya namna ya kufanya hivyo
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment