Siha na Maumbile: Njia ya kutuliza mwili baada ya kazi
Published on: September 29, 2016 10:03 (EAT)
Kuumika ni tiba ambayo imekuwa ikitumika toka jadi na sasa inaonekana kupata umaarufu kutokana na faida zake mwilini. Ni Tiba inayosifika kwa maumivu mbalimbali ya mwili mbali na kuimarisha afya ya mtu kwa jumla. Katika siha na maumbile hii tunaangazia tiba hiyo ambayo ni salama isiyo na gharama kubwa na pia kama kinga ya maradhi mengi.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment