Siha na Maumbile: Ukandaji wa mtoto mdogo una manufaa mengi
Wanasena kuzaa si kazi kazi ni kulea, kumlea mtoto tangu anapozaliwa hadi anapopevuka. Malezi bora kwa watoto wachanga yakiwa mkusanyiko wa mambo mengi kuanzia lishe bora, malazi , kinga na tiba ya magonjwa, Bila kusahau kumkanda mtoto ambako kumeoneka kuwa na manufaa mengi sio tu kwa mtoto bali pia kwa mama. Katika ziara yangu mjini malindi nilipata fursa ya kuzungumza na mhudumu wa afya, ambaye alinionesha taratibu za kukanda, shughuli ambayo imeoneka kusaidia sana katika kumtuliza na kumpa usingizi mnono mtoto mchanga. Mengi ni katika siha na maumbile inayofuata sasa.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment