Siha na Maumbile: upangaji uzazi

Ulimwengu ukiadhimisha siku ya upasuaji wa mpira wa uzazi kwa wanaume (au vasectomy)hapo kesho, wanaume mia moja na hamsini humu nchini wamejitokeza kufanyiwa upasuaji huo katika kampeni ya kuwashirikisha akina baba katika mpango wa uzazi.

Japo wanaume wengi wanahofia kuwa mbinu hiyo itapunguza makali yao ya kiume madaktari wanasema kuwa hizo ni hadithi za alfu lela hulela tu. Na kama anavyoarifu faiza maganga kwenye makala ya siha na maumbile, kuna uwezekano wa mwanamume kufunguliwa uzazi hata baada ya kufanyiwa upasuaji huo.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories