Siku ya Mashujaa haikuadhimishwa Migori, Kisumu na Siaya

Mbali na shehere ya siku ya mashujaa iliyoandaliwa katika bustani ya Uhuru hapa jijini Nairobi, wawakilishi wa serikali kuu katika kaunti mbali mbali waliwaongoza wakenya kuadhimisha sherehe hizo. Hata hivyo baadhi ya maeneo haswa yanayokisiwa kuwa ngome ya upinzani sherehe hizo hazikufanyika.

Tags:

Mashujaa day Migori kisumu

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories