Siku ya watu wanaoishi na ulemavu yaadhimishwa
Published on: December 03, 2017 08:27 (EAT)
Kenya imejiunga na ulimwengu kuadhimisha siku ya watu wanaoishi na ulemavu. Serikali na wadau mbalimbali wametakiwa kuhakikisha kuwa sheria zinazolinda maslahi ya walemavu zinatekelezwa kikamilifu.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment