Simba anayewaua watu na mifugo anaswa Kilifi
Published on: November 11, 2017 08:25 (EAT)
Huenda taharuki sambamba na mizozo baina ya KWS na wakaazi wa Ramada na Magarini kwa jumla kwenye kaunti ya Kilifi ikapungua pakubwa sasa baada ya Simba aliyekuwa akivamia makaazi na kuwauwa mifugo na wananchi kunaswa kupitia mtego wa KWS.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment