Simba anayewaua watu na mifugo anaswa Kilifi
Published on: November 11, 2017 08:25 (EAT)
Huenda taharuki sambamba na mizozo baina ya KWS na wakaazi wa Ramada na Magarini kwa jumla kwenye kaunti ya Kilifi ikapungua pakubwa sasa baada ya Simba aliyekuwa akivamia makaazi na kuwauwa mifugo na wananchi kunaswa kupitia mtego wa KWS.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment