Simulizi zatolewa kuhusu Familia iliyoangamia Juja
Published on: January 17, 2018 08:24 (EAT)
Imeibuka kuwa huenda kisa cha usiku wa kuamkia jana ambapo mwanamume mmoja anadaiwa kuiua familia yake na kuteketeza nyumba yake, kilikuwa kisa cha kujiua kwa sababu ya mrundiko wa madeni.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment